Kipanya na tanesko

commited

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2012
Posts
1,622
Reaction score
872
Nini maoni yako kwa huo ujumbe wa kipanya
 

Attachments

  • kp14112012.jpg
    37.7 KB · Views: 593
Imekaa poa sana
big up masoud

V
SENGEREMA
 
sometimes huwa naweza tafuta mwananchi ili nisome kipanya tu. Hivi hawezi weka kama album au kumbukumbu kwa vile vilivopendwa zaidi iwee kumbukumbu ukiboreka unakaa unapitia unacheka?. Baadhi ya vipanya nilivopenda ni pale mheshimiwa JK aliulizwa na kipanya kuh zigo alilobeba akajibu ' vipisi' aliulizwa ' vipi.......'

pia kuna kipanya kilikuwa kinaonyesha ndege aliokuja nayo raisi wa china kikisema wa kutengeneza yule halisi hakuja.....heheheheee, i like the guy
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…