Kinyerezi kiwanja

Kinyerezi kiwanja

dip pub

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2014
Posts
389
Reaction score
74
Kiwanja kinauzwa kikiwa na nyumba ambayo haijamalizika yenye vyumba viwili vyote ni master,sitting room,jiko,store na public toilet.
kiwanja kimepimwa na kina hati na kina ukubwa wa squire meter 1000
bei ni milioni 80 mazungumzo yapo
0714358610
 

Attachments

  • 2014-08-15 11.31.47.jpg
    2014-08-15 11.31.47.jpg
    319.2 KB · Views: 318
  • 2014-08-15 11.31.52.jpg
    2014-08-15 11.31.52.jpg
    388.6 KB · Views: 283
  • 2014-08-15 11.35.38.jpg
    2014-08-15 11.35.38.jpg
    428.8 KB · Views: 265
  • 2014-08-15 11.31.58.jpg
    2014-08-15 11.31.58.jpg
    441.7 KB · Views: 263
  • 2014-08-15 11.36.12.jpg
    2014-08-15 11.36.12.jpg
    385.1 KB · Views: 248
  • IMG_20140815_113140.jpg
    IMG_20140815_113140.jpg
    304 KB · Views: 254
  • IMG_20140815_113542.jpg
    IMG_20140815_113542.jpg
    674.9 KB · Views: 236
Sasa hapa unachonunua.mil.80 ni nn??!! Hapo hapo kiwanja.ntaununua.mil.15 nyumba mpaka.naezeka 40.na zingine namalizia na.bado nabaki.na.salio
 
Sasa hapa
unachonunua.mil.80 ni nn??!! Hapo hapo kiwanja.ntaununua.mil.15 nyumba
mpaka.naezeka 40.na zingine namalizia na.bado nabaki.na.salio

Kweli aisee!!
 
Sasa hapa unachonunua.mil.80 ni nn??!! Hapo hapo kiwanja.ntaununua.mil.15 nyumba mpaka.naezeka 40.na zingine namalizia na.bado nabaki.na.salio

hiyo mil 15 utapata kiwanja lakn sio cha ukubwa huu na sizani kama kitakuwa kimepimwa na kina hati,
pia hakitakuwa kwenye maeneo kilipo hiki
 
Mjengee bibi yako atakushukuru sana. 80 mil. Watta fak!!!??
 
Kaka mtoa post inaelekea mgeni na masuala ya ujenz,labda nikupe mchanganuo wa gharama za hilo eneo
Matofali 3000@Tsh.1000=3,000,000
Cement 50bags@Tsh.15,000=Tsh.750,000
Mchanga fuso 2@Tsh.150,000=Tsh.300,000
Nondo 18@Tsh.16,000=Tsh.288,000
Fundi Tzs.2,000,000
Maji na mengineyo kadirio ni Tzs.500,000
Kiwanja tunakadiria Tzs.10m
Jumla ni Tzs.16,838,000
Kwa hy haitakuwa mbaya kama utauza kwa Tzs.20m
 
hiyo mil 15 utapata kiwanja lakn sio cha ukubwa huu na sizani kama kitakuwa kimepimwa na kina hati,
pia hakitakuwa kwenye maeneo kilipo hiki

Kwanza kinyerezi ni less developed area ni bora nikanunue eneo vikindu ama kigamboni kama si bagamoyo ambako kunaendelea na thamani zinapanda daily tena unapata zaidi ya hiyo buku skuea mita.
 
Gari ya biashara coster inauzwa ipo katika hali nzuri pia ishuru imeshalipiwa,ipo Dar Es Salaam bei ni milioni 40 mwenye pungufu maelewano yapo mawasiliano zaidi piga 0714358610
 

Attachments

  • IMG_20140903_110357.jpg
    IMG_20140903_110357.jpg
    322.3 KB · Views: 57
  • IMG_20140903_110417.jpg
    IMG_20140903_110417.jpg
    349.9 KB · Views: 76
  • IMG_20140903_105520.jpg
    IMG_20140903_105520.jpg
    428.7 KB · Views: 77
  • IMG_20140903_105907.jpg
    IMG_20140903_105907.jpg
    399.9 KB · Views: 75
  • IMG_20140903_105448.jpg
    IMG_20140903_105448.jpg
    262.6 KB · Views: 78
  • IMG_20140903_110320.jpg
    IMG_20140903_110320.jpg
    360.8 KB · Views: 48
  • IMG_20140903_110349.jpg
    IMG_20140903_110349.jpg
    355.7 KB · Views: 61
  • IMG_20140903_105453.jpg
    IMG_20140903_105453.jpg
    391.6 KB · Views: 60
Ngoja niuze nyumba yangu nije ninunue hiki kiwanja!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom