Kwa kuchonga Sanamu ya Kwame Nkurumah badala ya Hayati Baba wa Taifa hili.Wakuu kwa mawaziri wa awamu hii nadiriki kusema waziri wa mali asili na utalii ni wazuri anayeonekana anajua anachokifanya,tangu aingie kwenye hiyo wizara ametulia vizuri na amekuwa mchapakazi.
Kila mda yupo kazini,hakuna siku hutamwona akiwa kazini kwenye mbuga na sehemu zingine zinazohusu utalii,ameleta mabadiliko na ameendana na kasi ya mheshimu Rais.
Haya ni maoni yangu,je ni waziri gani mwingine ameonyesha jitihada?
Wakuu kwa mawaziri wa awamu hii nadiriki kusema waziri wa mali asili na utalii ni wazuri anayeonekana anajua anachokifanya,tangu aingie kwenye hiyo wizara ametulia vizuri na amekuwa mchapakazi.
Kila mda yupo kazini,hakuna siku hutamwona akiwa kazini kwenye mbuga na sehemu zingine zinazohusu utalii,ameleta mabadiliko na ameendana na kasi ya mheshimu Rais.
Haya ni maoni yangu,je ni waziri gani mwingine ameonyesha jitihada?
Wewe ni observer wa kiwango cha awamu ya 5, najua unamwona yuko kazini kupitia account zake za mitandao ya kijamii au kuna njia nyingine tofauti na hiyo?!Kila mda yupo kazini,hakuna siku hutamwona akiwa kazini kwenye mbuga na sehemu zingine zinazohusu utalii,
Hakuna kitu hapo. Kwanza aombe msamaha kwa ile sanamu inayosemekana ni ya Baba wa Taifa wakati haina hata chembe ya sura ya Baba wa Taifa. Angekuwa makini asingefanya kosa hiloWakuu kwa mawaziri wa awamu hii nadiriki kusema waziri wa mali asili na utalii ni wazuri anayeonekana anajua anachokifanya,tangu aingie kwenye hiyo wizara ametulia vizuri na amekuwa mchapakazi.
Kila mda yupo kazini,hakuna siku hutamwona akiwa kazini kwenye mbuga na sehemu zingine zinazohusu utalii,ameleta mabadiliko na ameendana na kasi ya mheshimu Rais.
Haya ni maoni yangu,je ni waziri gani mwingine ameonyesha jitihada?