Mwananjengo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 317
- 101
mpaka sasa ni king'amuzi gani kilicho bora hapa Tanzania ukitoa dstv?
King'amuzi cha continental kilianza vzr,ili kwa siku za hivi karibuni wameanza kusumbua. Kukata chaneli ovyo ,utakuta wapeondoa Chanel zote za kitanzania wameacha zingine,wakati mwingine wazifunge kama zakulipia huku hawajatoa jinsi yakulipia. Ukweli Continental decoder haina mvuto tena,wamekuwa wababaishaji sana. Kuanzia mwezi huu tutaanza kulipia lakini hawajaboresha chochote, Mnakera continental
azam nao majanga tu, nataka kuhama,
Mbona mimi sina matatizo na star times?
azam nao majanga tu, nataka kuhama,
azam nao majanga tu, nataka kuhama,
King'amuzi cha continental kilianza vzr,ili kwa siku za hivi karibuni wameanza kusumbua. Kukata chaneli ovyo ,utakuta wapeondoa Chanel zote za kitanzania wameacha zingine,wakati mwingine wazifunge kama zakulipia huku hawajatoa jinsi yakulipia. Ukweli Continental decoder haina mvuto tena,wamekuwa wababaishaji sana. Kuanzia mwezi huu tutaanza kulipia lakini hawajaboresha chochote, Mnakera continental
mpaka sasa ni king'amuzi gani kilicho bora hapa Tanzania ukitoa dstv?