Kimya kuhusu wastaafu hewa

SPIN DOCTOR

Member
Joined
Aug 18, 2016
Posts
20
Reaction score
10
Hivi mshawahi kujiuliza kuwa iweje tuwe na wafanyakazi hewa halafu tusiwe na wastaafu hewa kama vile Polisi na kwingineko?

Bona hili la wastaafu hewa waziri wa kazi hataki kuliongelea?
 
Angalizo lililosahaulika hili...au kwa makusudi ama kwa bahati mbaya
 
Wastaafu tangu zamani wanahakikiwa kila baada ya miezi sita
 
Inawezekana kabisa kuna watu kila mwezi wakula pensheni za wastaafu hewa, ukiwa na wastaafu hewa wanne tu unakula hadi kifo kinakukuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…