SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
SAKATA LA ESCROW: Vigogo watatu Benki Kuu, Tanesco na TRA kortini Kisutu Dar leo. Watuhumiwa kwa ufisadi wa akaunti ya Tegeta Escrow, taarifa zaidi kukujia.
Kikwete Asitake Kutufanya Sisi Watanzania Ni Wajinga,hao Vigogo Wa TANESCO,TRA NA BOT,wanahusika Vp Wakati Mwizi Namba Mmoja Ni Werema Na Ndo Aliyeidhinisha Wizi? Tunazo Data Zote Juu Ya Ujinga Anaotaka Kutulaghai Watanzania,wezi Wanajulikana Hao Vigogo Wengine Ambao Hawapo Kwenye Hii Issue Wamekujaje? Alisema Akiwa China Kuwa Amechoka Kuongoza Anatamani Akachunge Mbuzi,sasa Naona Kweli Amechoka Vibaya Sana Hadi Anaboronga.