Hawa watu japo wapo hapa kwa gt lakini upeo wao unafukuzana na wajumbe wa bunge la katiba kutoka ssm na misimamo yao huku watu wakifuata maoni!ipo wapi hiyo mandela road?maana watu wa jf wanadhani wote tunaishi dar tanzania!
Acha kurusha watu roho wewe! Unaelewa maana ya "KIMENUKA? Tumieni misamiati vizuri.
Foleni dar ni Kivutio cha utalii
fryn-over