Kimenuka Mandela road

ipo wapi hiyo mandela road?maana watu wa jf wanadhani wote tunaishi dar tanzania!
Hawa watu japo wapo hapa kwa gt lakini upeo wao unafukuzana na wajumbe wa bunge la katiba kutoka ssm na misimamo yao huku watu wakifuata maoni!

 
mandela road hapa india mbona hamna folen...
 
umeshindwa kuionyesha hiyo unayodai "harufu" kwenye maelezo yako.

inawezekana huijui vizuri maana ya huu msemo.
 
Tulishaambiwa foleni ni ishara ya kukua kwa uchumi.., so uchumi unakua endeleeni kusota..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…