omujubi JF-Expert Member Joined Dec 6, 2011 Posts 4,444 Reaction score 2,700 Mar 13, 2014 #21 obama wa bongo said: ipo wapi hiyo mandela road?maana watu wa jf wanadhani wote tunaishi dar tanzania! Click to expand... Hawa watu japo wapo hapa kwa gt lakini upeo wao unafukuzana na wajumbe wa bunge la katiba kutoka ssm na misimamo yao huku watu wakifuata maoni!
obama wa bongo said: ipo wapi hiyo mandela road?maana watu wa jf wanadhani wote tunaishi dar tanzania! Click to expand... Hawa watu japo wapo hapa kwa gt lakini upeo wao unafukuzana na wajumbe wa bunge la katiba kutoka ssm na misimamo yao huku watu wakifuata maoni!
morphine JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 3,506 Reaction score 1,103 Mar 13, 2014 #22 poleni wahanga
G Gimuti Member Joined Mar 13, 2014 Posts 37 Reaction score 5 Mar 13, 2014 #23 Hiyo ndo dar na wapenda kusifiwa kuwa wanaishi dar. Mmelazimishwa? Hamieni Ddm.
I Ibra6 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2013 Posts 290 Reaction score 66 Mar 13, 2014 #24 Foleni dar ni Kivutio cha utalii
miagie JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 215 Reaction score 76 Mar 13, 2014 #25 mandela road hapa india mbona hamna folen...
jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,362 Mar 13, 2014 #26 umeshindwa kuionyesha hiyo unayodai "harufu" kwenye maelezo yako. inawezekana huijui vizuri maana ya huu msemo.
umeshindwa kuionyesha hiyo unayodai "harufu" kwenye maelezo yako. inawezekana huijui vizuri maana ya huu msemo.
hips.com JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 344 Reaction score 91 Mar 13, 2014 Thread starter #27 Shkamoo jogi
ze jackal JF-Expert Member Joined Nov 13, 2013 Posts 528 Reaction score 174 Mar 13, 2014 #28 Nikadhani maandamano ya wamachinga!
MIDFIELD JF-Expert Member Joined May 27, 2013 Posts 1,944 Reaction score 703 Mar 13, 2014 #29 Nyetk said: Acha kurusha watu roho wewe! Unaelewa maana ya "KIMENUKA? Tumieni misamiati vizuri. Click to expand... JF imevamiwa na vijana wa div 5 jamani
Nyetk said: Acha kurusha watu roho wewe! Unaelewa maana ya "KIMENUKA? Tumieni misamiati vizuri. Click to expand... JF imevamiwa na vijana wa div 5 jamani
Exorcist JF-Expert Member Joined Feb 28, 2014 Posts 1,235 Reaction score 1,273 Mar 13, 2014 #30 Tulishaambiwa foleni ni ishara ya kukua kwa uchumi.., so uchumi unakua endeleeni kusota..
KALYOVATIPI JF-Expert Member Joined Aug 11, 2011 Posts 1,414 Reaction score 199 Mar 14, 2014 #31 fryn-over zinahtajika aisee
M mwezeshaji Member Joined Mar 27, 2013 Posts 76 Reaction score 20 Mar 14, 2014 #32 Ibra6 said: Foleni dar ni Kivutio cha utalii Click to expand... umetisha mkuu
bily JF-Expert Member Joined Apr 5, 2012 Posts 8,029 Reaction score 5,813 Mar 14, 2014 #33 hicho ndicho kitu ulichoandika hapo au unamaanisha FLY OVER.? KALYOVATIPI said: fryn-over Click to expand...
hicho ndicho kitu ulichoandika hapo au unamaanisha FLY OVER.? KALYOVATIPI said: fryn-over Click to expand...