Kilichojiri Interview ya PPF

Ndo zao hao na utafanya vzr na kujibu vzr mtihani wao ila kuitwa interview ya pili utasikia kwa wenzio kazi ipo na haya mashirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu.

Kwa ambao mmenda interview za asubuhi tungependa mtupe mrejesho wa huko hiyo interview ya dakika 20 ipoje? ni aptitude test au ni interview ya namna gani?
majina mbona sijayaona mkuu...au nyie taarifa mmezipata wapi?
 
wewe uliona wako serious kweli na zile pepa zao sahau utasikia tu watu wapo kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…