Kila atakayetumia Condom kwa kila tendo apewe Tsh 10,000

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,360
11,507
Nashauri tu katika harakati za kupungumza maambukizi ya Ukimwi kuwe na Kampeni hii. Nmejifunza kwa alichosema Rais wa Usa Joe Biden kuwa kila atakayechanjwa atalipwa usd 100.

Nikawaza na sisi kweli hatuwezi fanya kampeni kama hiyo? Je si vema sasa kutumia pesa kukinga maisha ya hawa binadamu ambao wameshajichokea?

Ni mtizamo tu. Msikasirike.
 
Unashawishi matumizi ya kondom au unashawishi idadi kubwa ya wafanya ngono kwa kutumia kondom? Maana hapo vibarua wote wataacha kuchanganya zege ananunua kondom jero anaenda kutumia kisha analipwa 10000 akitoa jero lake anabaki na 9500 siku imepita.
 
Unashawishi matumizi ya kondom au unashawishi idadi kubwa ya wafanya ngono kwa kutumia kondom? Maana hapo vibarua wote wataacha kuchanganya zege ananunua kondom jero anaenda kutumia kisha analipwa 10000 akitoa jero lake anabaki na 9500 siku imepita.
 
Efficiency ya condoms kuzuia magojwa ni ndogo kuliko inavyopewa promo. Kama huamini, tumia condoms kujamiia na mtu mwenye UKIMWI na asiwe anatumia ARV
 
Efficiency ya condoms kuzuia magojwa ni ndogo kuliko inavyopewa promo. Kama huamini, tumia condoms kujamiia na mtu mwenye UKIMWI na asiyetumia ARV
:D :D :D :D Hii hamna wa kujaribu, ni kama kujaribu kifo tu. Wengi wanatua ndom isivyo sahihi, unakuta watu wanapigana madenda kama vita, wananyinyana viungo vyao vya siri kama chakula vile, then wanagusanisha gusanishaaa ili sijui iweje then ndio mtu anakuja vaa ndom.. huo si utani kabisaa
 
Unashawishi matumizi ya kondom au unashawishi idadi kubwa ya wafanya ngono kwa kutumia kondom? Maana hapo vibarua wote wataacha kuchanganya zege ananunua kondom jero anaenda kutumia kisha analipwa 10000 akitoa jero lake anabaki na 9500 siku imepita.
Na aliyemgegeda naye atamwachia ngapi kwenye hiyo 9500? Au unachukulia kila mtu ameoa na ana sehemu ya kugegedana.!
 
Sasa kila mtanzania si atasema ametoka kutumia kondomu tena wengine watasema wamepiga bao 15 kwa kila siku ili apate pesa ndefu.
 
:D :D :D :D Hii hamna wa kujaribu, ni kama kujaribu kifo tu. Wengi wanatua ndom isivyo sahihi, unakuta watu wanapigana madenda kama vita, wananyinyana viungo vyao vya siri kama chakula vile, then wanagusanisha gusanishaaa ili sijui iweje then ndio mtu anakuja vaa ndom.. huo si utani kabisaa
Condom ni swala mtambuka😅 inabidi watu muelewe japo najua utekelezaji wake ni 10% ndio wanaweza kukomaa nazo vinginevyo ni uchafuzi wa mazingira tu
 
Back
Top Bottom