Anza na mtoa mada, inabidi uchambuzi makini ufanyike, sidhani na siamini kama kitu hiki kipo especially kwa Rais anapokuwa anafanya kazi za humu ndani. kama ni appearance ya wabunge na viongozi wengine kwa shughuli ambazo sio za jamii say za biashara kwanini tusiwalipe? appearance yao kwetu ni biashara so WHY NOT PAYING THEM, I REPEAT SIPENDI KUAMINI KUWA WANALIPWA KWENYE SHUGHULI ZA KIJAMII ZAIDI.
Hiyo PR ya Mango Fina ni si ni ya kibiashara????
Kwa Bongo inawezekana kwani hata akina naniii ukiwaita waje kwenye hafla yako waweze kuripoti kwa umma, bila BROWN ENVELOP huwaoni ng'o!!!!!!