Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Kutoka kushoto kwenda kulia gary neville, David platt, mcmanaman, Darren anderton, seamen na shearer
Waliochuchumaa Gazza, Sheringham, adams, Stuart peace na Gareth Southgate
Kutoka kushoto kwenda kulia gary neville, David platt, mcmanaman, Darren anderton, seamen na shearerWangapi mnakikumbuka Kikosi hiki kilichoshiriki Euro 96 palepale kwao England
Kutoka kushoto kwenda kulia gary neville, David platt, mcmanaman, Darren anderton, seamen na shearer
Waliochuchumaa Gazza, Sheringham, adams, Stuart peace na Gareth Southgate
Duh mambo yameisha kuwa ya kale haya ama kweli kila kitabu na zama zake.Very good squad except for Darren Anderton and Gareth Southgate, average players, they had better options.
Mr ChapombeMaskini Gazza
Safari bila wazee hainogi. Vijana wengi wa leo hawakuwa na uelewa miaka hiyo.Kutoka kushoto kwenda kulia gary neville, David platt, mcmanaman, Darren anderton, seamen na shearer
Waliochuchumaa Gazza, Sheringham, adams, Stuart peace na Gareth Southgate
Umenikumbusha Paul Gascoine " Gazza " aliyeavaa jezi namba 8, moja kati ya Viungo bora kabisa wa Kiingereza, katika ubora wake alikuwa moto wa kuotea mbali sana.Wangapi mnakikumbuka Kikosi hiki kilichoshiriki Euro 96 palepale kwao England
Sahihi andiko lako mzee mwenzangu.Safari bila wazee hainogi. Vijana wengi wa leo hawakuwa na uelewa miaka hiyo.
Haahahahahaaaaa sawa mkuuNakumbuka nusu fainali na Ujerumani Gaza alipiga mpira mkubwa sana . Asante kwa uzi mtamu mleta mada angalau watoto wa juzi watusubiri kidogo wazee tushirikishane
Gazza nakumbuka kabla ya kwenda kupiga mkwaju wake wa penalty alikuwa akiongea na baadhi ya wachezaji wa jeremani ilikuwa kama anawaambia mimi nikienda pale nawafunga tu na alipiga penalty nzuri tu jamaa waqt yupo lazio kuna siku kamuokota nyoka akamuwekea di matteo mfukoni siku nyingine kocha wao dino zoff kamkwapua filimbi kisha akaenda kumfungia ndege (bird )aliporuka akasepa nayo. Kuhusu Blackburn rovers hicho kikosi shy given na Tim flower ndio walikuwa walinda mlango huko mbele alikuwapo Chris sutton watu kama hanning berg hata gremie le saux pia alijumuishwa kikosini.Umenikumbusha Paul Gascoine " Gazza " aliyeavaa jezi namba 8, moja kati ya Viungo bora kabisa wa Kiingereza, katika ubora wake alikuwa moto wa kuotea mbali sana.
Licha ya Kipaji Maridhawa alichobarikiwa na Muumba ila matumizi makubwa ya Pombe yalimfanya ashindwe kutamba sana uwanjani.
Pia nimemkumbuka Alan Shearer, Straika hatari wa Kiingereza, mpaka leo ana magoli 260 katika EPL ndio mfungaji bora wa wakati wote wa EPL. Na yeye pamoja na Kipaji kikubwa cha kutupia, alimkatalia Sir Alex Ferguson mara mbili kwenda Man Utd.
Ya kwanza wakati anatoka Southampton kwenda Blackburn.
Mara ya pili aliikataa Man Utd wakati anatoka Blackburn kwenda Newcastle Utd.
Unahitaji ujasiri wa hali ya juu kumkatalia Meneja Mahiri kama Sir Alex.
Mtoa mada naomba utuletee Kikosi cha Blackburn Rovers kilichotwaa ubingwa wa EPL katika siku ya mwisho ya Msimu wa 1994/1995.
Mpira sasa umebaki kwenye mbinu za kujilinda kuliko burudani.
Ahsante mtoa mada.
hahaha...Nakumbuka nusu fainali na Ujerumani Gaza alipiga mpira mkubwa sana . Asante kwa uzi mtamu mleta mada angalau watoto wa juzi watusubiri kidogo wazee tushirikishane
bila kumsahau Nahodha Tim Sherwood. Kocha akiwa King Kenny DaglishGazza nakumbuka kabla ya kwenda kupiga mkwaju wake wa penalty alikuwa akiongea na baadhi ya wachezaji wa jeremani ilikuwa kama anawaambia mimi nikienda pale nawafunga tu na alipiga penalty nzuri tu jamaa waqt yupo lazio kuna siku kamuokota nyoka akamuwekea di matteo mfukoni siku nyingine kocha wao dino zoff kamkwapua filimbi kisha akaenda kumfungia ndege (bird )aliporuka akasepa nayo. Kuhusu Blackburn rovers hicho kikosi shy given na Tim flower ndio walikuwa walinda mlango huko mbele alikuwapo Chris sutton watu kama hanning berg hata gremie le saux pia alijumuishwa kikosini.
Nakumbuka nlikuwa mdogo sana Gaza tulikuwa tunamwita Papa ni na kaka yanguUmenikumbusha Paul Gascoine " Gazza " aliyeavaa jezi namba 8, moja kati ya Viungo bora kabisa wa Kiingereza, katika ubora wake alikuwa moto wa kuotea mbali sana.
Licha ya Kipaji Maridhawa alichobarikiwa na Muumba ila matumizi makubwa ya Pombe yalimfanya ashindwe kutamba sana uwanjani.
Pia nimemkumbuka Alan Shearer, Straika hatari wa Kiingereza, mpaka leo ana magoli 260 katika EPL ndio mfungaji bora wa wakati wote wa EPL. Na yeye pamoja na Kipaji kikubwa cha kutupia, alimkatalia Sir Alex Ferguson mara mbili kwenda Man Utd.
Ya kwanza wakati anatoka Southampton kwenda Blackburn.
Mara ya pili aliikataa Man Utd wakati anatoka Blackburn kwenda Newcastle Utd.
Unahitaji ujasiri wa hali ya juu kumkatalia Meneja Mahiri kama Sir Alex.
Mtoa mada naomba utuletee Kikosi cha Blackburn Rovers kilichotwaa ubingwa wa EPL katika siku ya mwisho ya Msimu wa 1994/1995.
Mpira sasa umebaki kwenye mbinu za kujilinda kuliko burudani.
Ahsante mtoa mada.
Yaah king Kenny alikuwa mkufunzi pale khalafu nadhani pana mchezaji alikuja pale Darren peack baadae 1998 alikuwa anafunga kishungi kama Petit. Pia mjumuishe David battybila kumsahau Nahodha Tim Sherwood. Kocha akiwa King Kenny Daglish