Kigamboni kigamboni kigamboni

Kigamboni kigamboni kigamboni

akohi

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2012
Posts
787
Reaction score
527
Tafadhari tuwasiliane kwa mahitaji yako ya KUNUNUA au KUUZA mashamba au viwanya vilivyopimwa na ambavyo havijapimwa vyenye offer au hati.

Kwa sasa tuna mashamba na viwanja kwa ukubwa na bei tofauti tofauti lakini kwa Kigamboni tu na maeneo yake.

Mwenye uhitaji ani PM
 
Kaka bei zako kidogo naona zipo mbali sanaaa maana inatuwia tabu sana hata kukucheck.....
 
Kwa baharini sina uhakika ila cha pili toka baharini vipo heka na kuendelea 80m
 
Kaka bei zako kidogo naona zipo mbali sanaaa maana inatuwia tabu sana hata kukucheck.....

Papizo nipe budget yako then ntakishauri vizuri. Mf hapa gezaulole ---- plot mbili

40 x 30 ..15m
28 x 30...10m

Vimepakana na mradi kwa maana barabara ndo imetenganisha na vipo kwenye kona.

Havijapimwa.

Mbutu vimepimwa 12,000/- per sqm
 
Papizo nipe budget yako then ntakishauri vizuri. Mf hapa gezaulole ---- plot mbili

40 x 30 ..15m
28 x 30...10m

Vimepakana na mradi kwa maana barabara ndo imetenganisha na vipo kwenye kona.

Havijapimwa.

Mbutu vimepimwa 12,000/- per sqm

Kaka unauzwa ambavyo vimepimwa ty??me kama kuoima nitapima mwenyewe tu.....weka heka kadhaa ambazo hazijapimwa
 
Naomba kuuliza, hivi ule mradi wa kigamboni, vijibwen wa wamarekani unaotarajiwa kuisha 2030 ni kwamba haujachukua eneo lote la kigamboni ? Na km ni eneo lote hivi viwanja vinauzwa kigamboni ipi.? Naomba mnisaidie hili kwa wale wenye kufahamu vizuri mradi huu na Kigamboni
 
Yapo pia mashamba hayajapimwa.

Beach plot ipo nusu heka 400m

Mradi upo ila sio eneo lote la kigamboni, wame spot tu baadhi ya meneo, kabla ya kulipia tunakupa beacons uka confirm wizaran au manispaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom