Trump (akitabasamu kuhusu Two State Solution (Suluhisho la Mataifa Mawili):
"Hapa ameketi mtu bora zaidi kujibu swali hilo la zamani kwa uaminifu-Bibi, waambie!"
Netanyahu:
Hatutawahi kuwapa udhibiti wa usalama katika maeneo yao tena—hatutaki kujiua. Tutafanya amani na majirani zetu wote wanaoizunguka Israeli.