Kifo cha Leopold Lwajabe dhidi ya uongo wa Mambosasa: Aibu dunia nzima "skunk of the world"

nashangaa sana mleta uzi anataka tuamini yeye ndo kaandika wakati amecopy article ya Ngurumo kule facebuku
Angalia vizuri hata Ngurumo kanukuliwa na Muhsin Kigwa ambaye nimempa heshima ya kuwa chanzo cha habari. Majinuni haya yanapaswa kusambazwa dunia nzima. Tunatafsiri katika lugha nne ili dunia ione. Majambazi yaliyojificha kwenye mfumo yajulikane. Kule facebook wanaokomenti wana uoga. Kila mmoja sambaza hii.
 
Unaonekana uko karibu sana na marehemu nenda kafungue kesi ili haki ipatikane ukishindwa kufanya hivyo basi ulichoandika ni uzushi mtupu.
 
Mkuu wa TISS kajiticha kwenye ulokole Kama huyo Mungu anae mwamini yupo kweli huyu mzee atakuwa na undugu na shetani. Hakuna wakati roho za watu zimepotea Kama awamu Ihii ya kwake dk Kipilimba hautakumbukwa kwa jema lolote zaidi ya yote mayatima wanaobaki ni kilio kwa kizazi Chako kijacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…