Sijui kama kifaa hicho kipo ila, kama tatizo ni tivii kuingiliana rangi
kuna njia ya kienyeji na ya BUREEEEEEEEE inaweza kukusaidia
cha kufanya:
1)tafuta sumaku(magnet kwa kidhungu) unaweza kuipata kwenye spika au kifaa chochote kinachotumia, au waombe watoto wakutafutie maana wanachezea kila siku
2) washa TV yako ambayop imeingiliana Rangi, wacha iwake kama dk 5 hivi ili tube iwe ya moto..
3)chukua magnet yako nasogeza kwenye uso wa tv(kioo) utaona rangi zinachanganyika Zaidi.
4)sasa fanya kama unafuta kioo kwa kutumia sumaku yako kuelekea pembeni ya Tv(bila kugusisha kwenye kioo hata kidogo) yaani juu juu utaona rangi zinafata muelekeo wa sumaku
5)so unavyofuta uwe unazielekezea zifate sumaku pembeni ya kioo hadi utaona rangi rangi zote zimepotelea mwisho wa kioo na kioo kitabaki safiiiiiiiiiiiii
Hope it helps!!
Cheers.