Nilinunua simu ya startimes ya 129000. Zile simu zina tatizo la kujitoa memory card ikiwa simu ipo on. Uzuri wenyewe wanajua maana nilipoirejesha walijua tatizo na wakaomba niiache.
Tatizo langu kubwa ni kwamba, baada ya kwenda kuichukua na kuniambia ipo tayari walikua wamedelete kila kitu na ile memory kurudi upya ikiwa ni pamoja na kufuta mafile yangu muhimu. Je, nina haki ya kuwashitaki?
Uliwaambia kilichomo kwenye Memory card kiachwe?,maana kama wamefanya kinyume na makubaliano hapo kweli,lakini kama hukuwaambia,wakichofanya ni kutibu tatizo na kukupa simu ikiwa zima..
Uliwaambia kilichomo kwenye Memory card kiachwe?,maana kama wamefanya kinyume na makubaliano hapo kweli,lakini kama hukuwaambia,wakichofanya ni kutibu tatizo na kukupa simu ikiwa zima..
Unapo peleke kifaa kwa fundi/ customer service repair unapaswa kuwa umetoa data zako zote muhimu na hawezi ku na jukumu la kujibu kwa upotevu wowote ule wa data, jifunze hata kwa fundi wako wa mtaani kabla hujawafikia star times
Unapo peleke kifaa kwa fundi/ customer service repair unapaswa kuwa umetoa data zako zote muhimu na hawezi ku na jukumu la kujibu kwa upotevu wowote ule wa data, jifunze hata kwa fundi wako wa mtaani kabla hujawafikia star times
tofauti iliyopo pale ni kuwa waliniambia kabisa wanarekebisha...so ckuwa na shauku bt walipaswa waniulize coz ilikua ktk warrant na hata hvyo nimegundua simu hizo ndo zina tatizo hilo coz nilikuata folen ya watu wamezirudisha