Saljiv Member Joined Feb 19, 2009 Posts 16 Reaction score 7 Oct 17, 2016 #1 Wafanyakazi wa DART Morocco wamekuja na mradi mpya wa kutorudisha chenji ya shs 50 wakidai kwa hawana chenji. Huo mradi ulianza polepole na kwa sasa umekuwa chronic.
Wafanyakazi wa DART Morocco wamekuja na mradi mpya wa kutorudisha chenji ya shs 50 wakidai kwa hawana chenji. Huo mradi ulianza polepole na kwa sasa umekuwa chronic.
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Oct 17, 2016 #2 Nenda na chenji kamili. Au wewe ndio ungekuwa cashier pale ungefanyaje?
Saljiv Member Joined Feb 19, 2009 Posts 16 Reaction score 7 Oct 17, 2016 Thread starter #3 Sioni sababu kwanini wasiwe na chenji ya kumrudishia mteja. Kama sio mradi wa kujipatia pesa za bure.
Sioni sababu kwanini wasiwe na chenji ya kumrudishia mteja. Kama sio mradi wa kujipatia pesa za bure.
Gaspare Mbile JF-Expert Member Joined Aug 30, 2016 Posts 1,567 Reaction score 1,605 Oct 17, 2016 #4 Kwani si wanajua nauli 650 kwahiyo katika hali ya kawaida sh 50 inabidi ziwe za kutosha kwa ajili ya change, waache habari zao.
Kwani si wanajua nauli 650 kwahiyo katika hali ya kawaida sh 50 inabidi ziwe za kutosha kwa ajili ya change, waache habari zao.
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 57,872 Reaction score 129,868 Oct 17, 2016 #5 Gaspare Mbile said: Kwani si wanajua nauli 650 kwahiyo katika hali ya kawaida sh 50 inabidi ziwe za kutosha kwa ajili ya change, waache habari zao. Click to expand... Hata wewe si unajua nauli 650/- kwanini usiende na change kamili?!
Gaspare Mbile said: Kwani si wanajua nauli 650 kwahiyo katika hali ya kawaida sh 50 inabidi ziwe za kutosha kwa ajili ya change, waache habari zao. Click to expand... Hata wewe si unajua nauli 650/- kwanini usiende na change kamili?!