Kenya vs Tanzania

Nakuchukia sana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
487
Reaction score
934
Utafiti uliofanywa umeonesha kuwa majirani wetu 254 wapo mbele yetu sana. Naitachukua muda tuwafikie, vitu viliopewa kipaumbele ni uhuru wa kujieleza, viwanda, masomo, dhamana ya pesa na ubora wa vitu.

Sijui kama watanzania wenza mnakubaliana na hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…