hawana lolote..., propaganda tu.yaani niamini mm nikikwambia hapa africa mashariki katika jeshi ambalo halina makamanda kwenye uwanja wa medani basi ni KDF..., hata leo waseme zipigwe na mganda.., mkenya anapigwa vizuuuri na mavifaa yote alonayo..., hua nasisitiza sana hapa, experience matters big time! Kule wamejaa staff officers tu..
Kuiskia smg imewekwa rapid afu inalizwa kuja upande wako afu kamanda unatakiwa ufanye maamuzi.., si mambo ya masihara hayo!
Sights and sounds of the battlefield lazma kamanda awe amezizoea..., watu wanavyotaharuki, harufu ya baruti, vinanda vikilizwa nk
Sisi tulipigana vita kadhaa..,(include covert-ops).., kwa sasa kwa sbb hakuna vita.., mabwana vita pale upanga wakaona vijana wa sasa na makamanda watakua hawana battlefield experience.., wakaamua ku-secure peace-keeping missions za darfur na lebanon kwa rotation kubwa at least kila kamanda kijana na askari apate piece of action..., ukiskia janjaweed anapiga kinanda cha ak 47 zaidi ya masaa matatu.., tayari inakuondoa uoga wa vita na kujenga confidence ya kufanya maamuzi under pressure.mkenya kaja kustuka kumepambazuka..., anyways mtoto huanza kutambaa kwanza ndo anatembea