Kwa ufupi Serengeti boys wako SUPA.Abdul Suleiman yule mwenye bandeji kichwani na aliyefunga goli la pili dhidi ya Angola.Baada ya mechi alipimwa mkojo sijui matokeo yake yakoje.Walihisi anatumia dawa za kuongeza nguvu kwenye misuli.Dogo hachoki.Na stars ya wakubwa wajifunze kwa hawa watoto