Kelvin Nashon Naftal

Joined
Apr 29, 2017
Posts
11
Reaction score
5
Kiukweli kijana huyu anaye chezea Tim ya Selengeti boyz nampenda na jezi yake namba 20 pia kafanana sana na Ngolo Kante lo ni noma sana huyu dogo
 
Kiukweli kijana huyu anaye chezea Tim ya Selengeti boyz nampenda na jezi yake namba 20 pia kafanana sana na Ngolo Kante lo ni noma sana huyu dogo
Mi nawakubali beki 4"5 ,kipa , 3. Nkomola Na Assad Juma hiyo nimeifanya baada ya mechi ya mali , ninatafanya selection zaidi ngoja niangalie reply ya angola
 
Kuna dogo nilimuona kama messi akiwa na mpira anamfuata bek na kupga chenga
 
Kwa ufupi Serengeti boys wako SUPA.Abdul Suleiman yule mwenye bandeji kichwani na aliyefunga goli la pili dhidi ya Angola.Baada ya mechi alipimwa mkojo sijui matokeo yake yakoje.Walihisi anatumia dawa za kuongeza nguvu kwenye misuli.Dogo hachoki.Na stars ya wakubwa wajifunze kwa hawa watoto
 
Vipimo vimetoka, yuko swafi kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…