thesolomon
Member
- Oct 25, 2011
- 35
- 5
Kampuni haina jina,Tunatafuta vijana wa kufanya kazi katika kitengo kimoja wapo cha kampuni yetu .
awe na degree ya ict au computer or advanced diploma but even diploma can send their applications. but salary is around 25o,000/ for succesful candidates. we need 3 guys who will be under probation period of 6 months.
ni sehemu nzuri kwa kuanzia kazi na kupata uzoefu ni kampuni kubwa na yenye kujuilikana international japo kuwa mshahara sio mzuri sana ila unaweza kupanda kulingana na uwezo wako wa kujituma .
mazingira mazuri ya kazi za ofisini wewe na computer yako .
tumeni cv na certificates kwa email hii hapa as soon as possible thesuley@yahoo.com,interview will be done on monday 27 feb and tuesday 28 feb buy you will be notified of where about if you will be shortlisted
kila la kheri
of cause hatukupenda kuweka jina kwa sasa ila kampuni ipo Dar esalaam na mwenye interest atume application zake ,is international company dealing with security however the job is office job dealing with data entry and other tasks,is a good place to gain your experience.
Mtu mwenye degree ya ICT mshahara 250,000/=, hayo ni matusi ndg yangu yaribuni kuangalia maisha yalivyo magumu na huo mshahara
Mtu mwenye degree ya ICT mshahara 250,000/=, hayo ni matusi ndg yangu yaribuni kuangalia maisha yalivyo magumu na huo mshahara
kaka believe me kuna watu wana masters zao wengi wameamua kuvolunteer ili wapate experience na hawalipwi hata senti tano ,wewe chukulia hii ni sehemu yako ya kuanzia kazi upate experience na kwa vile ni kampuni kubwa ni rahisi kuonekana na makampuni mengine yenye kulipa zaidi,believe me kampuni nyengine za security nafasi hii wanalipa mpaka laki nane kwa kuanza ila uwe na experience so hii ni golden chance ,wabongo tushazoea kudanganyana tukiwa vyuoni eti tukimaliza tuu mshahara milioni
fanyeni application
hii yahoo address ni ya kwangu mimi ambaye nimepewa kazi ya kuwatafuta hawa watu kampuni haikutaka kutangaza kwa vile wananiamini naweza kuwapatia good candidates ,mkishanitumia mimi cv zenu nitaziselect na hao ndo wataofanyiwa interview ,of cause that 250000 is the first figure but can be negotiable depending on hw he can express him/her self
hii yahoo address ni ya kwangu mimi ambaye nimepewa kazi ya kuwatafuta hawa watu kampuni haikutaka kutangaza kwa vile wananiamini naweza kuwapatia good candidates ,mkishanitumia mimi cv zenu nitaziselect na hao ndo wataofanyiwa interview ,of cause that 250000 is the first figure but can be negotiable depending on hw he can express him/her self
of cause hatukupenda kuweka jina kwa sasa ila kampuni ipo Dar esalaam na mwenye interest atume application zake ,is international company dealing with security however the job is office job dealing with data entry and other tasks,is a good place to gain your experience.
is international company dealing with security however the job is office job dealing with data entry and other tasks,is a good place to gain your experience.