Kazi ya Vice Prezdaa ni nini?


Afu wenzetu hawa nao sijui vipi! Yaani mi nakaonaga kapo kapo tu, pointi hakana afu upande huo wa nchi kana influence kinoma! Wazenji bana!
 
Ikiwa kama jambo lolote hata linalohusu utendaji wa wizara moja basi lazima rais ndo atoe jibu; ivi job description ya makamu wa rais inasemaje? Kimsing mbona kama hahitajiki?

Kazi yake ni kuweka mawe ya msingi na kuja arusha kufungua matawi ya benki.
 
Naipenda hii kazi jamani, yaani hakuna sehem utatakiwa kutoa tamko we ni kuzindua2 hakuna wa kulalamikia.
Ndoto yangu ni kuwa Vice prezda, ngoja EL aingia state house
 
Naipenda hii kazi jamani, yaani hakuna sehem utatakiwa kutoa tamko we ni kuzindua2 hakuna wa kulalamikia.
Ndoto yangu ni kuwa Vice prezda, ngoja EL aingia state house

You can't be serious!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…