Kazi ya ndani

Watafuta kazi siku hizi wana kiburi sana,"tukikubaliana hadi malipo ndio tatoa mawasiliano yangu"...tatizo letu Watanzania tunashida ila tuna kiburi...huwa mnawaza kutongozwa tu...ukiwa unatafuta kazi ni muda muafaka wa kuacha namba hovyo hovyo,huwezi jua utapata wapi,....kwani ukitongozwa huwezi kukataa?...jifunzeni kuwa wanyenyekevu kipindi cha kutafuta kazi....!endeleeni kulala ndani mpo na simu zenu za smart mnazani kazi zinakuja just kwa kuringa namna hiyo....hivi ukijifanya mjinga alafu ukapata hiyo kazi kuna shida gani..."tatizo exposure"
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unataka namba ya aina gani?
Mbona mtoa mada ameweka na namba yake ya simu kwenye uzi wake.
Labda wewe utakuwa na yako mengine tu.
 
jaman kuweni serious bac....yaan kaz ninaihitaj lkn wanaokuja kweny cmu hko n shida tupu...
 
kw hyo ndo mmegoma kabsa kunipa kaz jmn...mwez sasa umeish eti..au mnataka vgezo gan niweke
 
jaman kuweni serious bac....yaan kaz ninaihitaj lkn wanaokuja kweny cmu hko n shida tupu...
🤣🤣🤣 aiseee nimecheka sana kwenye wekundu. Vipi dada salama huko kwenye cm


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Njoo kwenye group letu la WhatsApp Kuna kazi nimeiona.link ya kujiunga hii chini hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…