Habar zenu. Nimefungua account hii kwa ajili tuu ya kutafuta kazi. Naomba ushirikiano wa kweli na siyo kejeli. Nipo dar nina tafuta kazi ya ndani lakini iwe ni ya kuja na kuondoka tuu. sintaweza kabsa kulala hapo. Kazi ambazo ni usafi wa nyumba, nguo, vyombo pa1 na kupika. Kama kuna mtoto mdogo, nitashindwa maana silali hapo. Kama una uhitaj huu naomba unitafute kwa msg private. tukielewana had malipo nitakupatia mawasiliano yangu. Mimi ni mwanamke na ni mkristo.
Ahsanteni