Mhnn....Aina a kazi:Kawaida(general duties).
Elimu😀arasa la 7-kidato 4.
Sehemu ya kazi:Mkoa Pwani
Mshahara:150-200,000TZS
Mengineyo:Awe mwenye afya njema na uwezo wa kujitetea na wahalifu,nyumba atapewa chumba 1,chenye maji na umeme-atalipiwa,awe na wadhamini 2 wanaofanya kazi serikali.Kwenda kazini,hapahitaji nauli/usafiri.
Majibu ,yatatumwa kwa watakaoteuliwa tu.Majibu yatatoka tarehe 15.Aug.2013.Jiandae kuombwa picha kuthibitisha afya yako kwa nje kwanza.Hapahitajiki ujuzi kwa sababu kila kitu atafundishwa.
Njia ya kutuma maombi ni kwa PM tu,ili upewe maagizo ya ziada.
Wekazi gani umeona inatoka kihuni namna hii,si ndio yale ya watu kuletwa huku Zanzibar na kutembezwa na vyombo ili wajilipe kwa commission.
Weka wazi kwamba mnashughulika nani?na kama mmesajiliwa ili hata kama mtu anandugu yake afuatilie usajili wenu,.
Sasa hivi dunia ni kijiji kupata data ni rahisi mno.
Maana hakuna sifa kama moja inayochekesha hapo,yaani ndio naiona tangu nazaliwa,kweli wewe PO kiboko.
Eti awe na afya njema ya kijitetea na wahalifu?kazi gani hiii
Halafu Experince yako ndogo sana kwenye masuala haya kama Personal Officer,we umeonawapi aina yakazi ikaitwa General Duties.
Jipange
Mhnn....
1. Kawaida ndo kazi gani? Maana kwa daktari, udaktari ndo kawaida, the same to Engineers, walimu, etc etc
2. Uwezo wa kujitetea na wahalifu..??? Hii ni kazi ya ulinzi au..???
3. Mwombaji ajiandae kuthibitisha afya yake kwa nje...???? Una maana gani..??
4. Maagizo ya ziada ndiyo nini..???? Au kuna kupikia watu vyakula huko..??? Au kuna kufua, kudeki, au una maana gani..???
Acheni kutumia advantage ya shida za watu....
Aina a kazi:Kawaida(general duties).
Elimu😀arasa la 7-kidato 4.
Sehemu ya kazi:Mkoa Pwani
Mshahara:150-200,000TZS
Mengineyo:Awe mwenye afya njema na uwezo wa kujitetea na wahalifu,nyumba atapewa chumba 1,chenye maji na umeme-atalipiwa,awe na wadhamini 2 wanaofanya kazi serikali.Kwenda kazini,hapahitaji nauli/usafiri.
Majibu ,yatatumwa kwa watakaoteuliwa tu.Majibu yatatoka tarehe 15.Aug.2013.Jiandae kuombwa picha kuthibitisha afya yako kwa nje kwanza.Hapahitajiki ujuzi kwa sababu kila kitu atafundishwa.
Njia ya kutuma maombi ni kwa PM tu,ili upewe maagizo ya ziada.
Na rejea na ninaungana na waliochangia hapa.
We usitaki kufundisha taaluma za watu na kuziharibu humu.
Uwezo wako wa kujieleza nimdogo sana na inaonekana kuna usanii hapo.Jua kwamba una deal na kizazi kipya kabisa,sio enzi za mwalim.
Mie nasema kwa kujiamini kwamba hakuna Job vacancy inayosema eti wnatafuta wafanyakazi wa General Duties,na kwa ulimbukeni etoi unnaandika :Kawaida(General Duties)we nani kakuambia tafsiri ya general Duities ni kazi za kawaida?Internet ipo nyumbani tangu nipo primary naijua kaka,sasa kuniambia ni search eti nitakuta kazi ya General Duities ni uzushi,au ndio tujue unajua sana wakati hamna kitu.
We sema ni kazi fulani,basi.
We unaseme sehem ya kufanya kazi ya maakuli sasa mambo ya kujilinda na wahalifu yanahusiana na nini?
Hivi huu ubabaishaji hii nchi utaisha lini?
Very simple issue.
Kazi gani
jina gani
Mmesajiliwa na wapi?
Mnashungulika na nini kwa ujumla.
Hayo ndio watu wanataka kujua na sio blaaa blaa kupotezea watu muda.
Naungana na wenzagu kuwa ni dhambi kubwa na wala haibariki shughuli ya mtu yeyote ambae anatumia shinda na dhiki za wenzie kama mgongo wa maisha.
Ushahid ninao jinsi vijana walivyoletwa Zanzibar na ahadi etel kumbe wanakuja kuuza vyombo,wantembe kuanzi asubuhi mmpaka jioni na wanahali ngum kupita malezo,mmoja mmoja akiptata nauli anarudi.Mnapamba matangazo ili mtese wenzeni.Na ninawasiwasi na Elim yako kwanza
Umemaliza mkuu sina cha kuongezea, achana na huyo tapeli wa mji anafikiri atadanganya watu wa staili hii.Na rejea na ninaungana na waliochangia hapa.
We usitaki kufundisha taaluma za watu na kuziharibu humu.
Uwezo wako wa kujieleza nimdogo sana na inaonekana kuna usanii hapo.Jua kwamba una deal na kizazi kipya kabisa,sio enzi za mwalim.
Mie nasema kwa kujiamini kwamba hakuna Job vacancy inayosema eti wnatafuta wafanyakazi wa General Duties,na kwa ulimbukeni etoi unnaandika :Kawaida(General Duties)we nani kakuambia tafsiri ya general Duities ni kazi za kawaida?Internet ipo nyumbani tangu nipo primary naijua kaka,sasa kuniambia ni search eti nitakuta kazi ya General Duities ni uzushi,au ndio tujue unajua sana wakati hamna kitu.
We sema ni kazi fulani,basi.
We unaseme sehem ya kufanya kazi ya maakuli sasa mambo ya kujilinda na wahalifu yanahusiana na nini?
Hivi huu ubabaishaji hii nchi utaisha lini?
Very simple issue.
Kazi gani
jina gani
Mmesajiliwa na wapi?
Mnashungulika na nini kwa ujumla.
Hayo ndio watu wanataka kujua na sio blaaa blaa kupotezea watu muda.
Naungana na wenzagu kuwa ni dhambi kubwa na wala haibariki shughuli ya mtu yeyote ambae anatumia shinda na dhiki za wenzie kama mgongo wa maisha.
Ushahid ninao jinsi vijana walivyoletwa Zanzibar na ahadi etel kumbe wanakuja kuuza vyombo,wantembe kuanzi asubuhi mmpaka jioni na wanahali ngum kupita malezo,mmoja mmoja akiptata nauli anarudi.Mnapamba matangazo ili mtese wenzeni.Na ninawasiwasi na Elim yako kwanza
Aina a kazi:Kawaida(general duties).
Elimu😀arasa la 7-kidato 4.
Sehemu ya kazi:Mkoa Pwani
Mshahara:150-200,000TZS
Mengineyo:Awe mwenye afya njema na uwezo wa kujitetea na wahalifu,nyumba atapewa chumba 1,chenye maji na umeme-atalipiwa,awe na wadhamini 2 wanaofanya kazi serikali.Kwenda kazini,hapahitaji nauli/usafiri.
Majibu ,yatatumwa kwa watakaoteuliwa tu.Majibu yatatoka tarehe 15.Aug.2013.Jiandae kuombwa picha kuthibitisha afya yako kwa nje kwanza.Hapahitajiki ujuzi kwa sababu kila kitu atafundishwa.
Njia ya kutuma maombi ni kwa PM tu,ili upewe maagizo ya ziada.
Umemaliza mkuu sina cha kuongezea, achana na huyo tapeli wa mji anafikiri atadanganya watu wa staili hii.
Aina a kazi:Kawaida(general duties).
Elimu😀arasa la 7-kidato 4.
Sehemu ya kazi:Mkoa Pwani
Mshahara:150-200,000TZS
Mengineyo:Awe mwenye afya njema na uwezo wa kujitetea na wahalifu,nyumba atapewa chumba 1,chenye maji na umeme-atalipiwa,awe na wadhamini 2 wanaofanya kazi serikali.Kwenda kazini,hapahitaji nauli/usafiri.
Majibu ,yatatumwa kwa watakaoteuliwa tu.Majibu yatatoka tarehe 15.Aug.2013.Jiandae kuombwa picha kuthibitisha afya yako kwa nje kwanza.Hapahitajiki ujuzi kwa sababu kila kitu atafundishwa.
Njia ya kutuma maombi ni kwa PM tu,ili upewe maagizo ya ziada.