Kazi : Distance learning support network (dlsn)

nash koba

Member
Joined
May 9, 2012
Posts
47
Reaction score
6
DISTANCE LEARNING SUPPORT NETWORK walitoaga tangazo la kazi na walikuwa wanatafuta ADMISSION COORDINATORS, ivi mchakato wa kuwapata hawa macoornators ulishia wapi kwa anaejua au kuwa ta taarifa mana walidai wanaendelea na mchakato na january na february au march watu wange itwa,
mwenye dodoso,dondoo taharifa, fukunyuku au tahari ya wazi au uilio nyuma ya kapeti atusaidie
 
duh! Sijui waliishia wapi pengine wameshaita watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…