Go Kayanza go, najua haya yote yanasemwa kwa kuwa hukuwa "Mamlaka ya uteuzi". Naamini ukiwa ndiyo fully mteuzi utachukua hatua mapema,na uta delegate kwa wasaidizi wako ili wasisubiri mpaka ufike Mpanda ndio uamuzi utoke.
Nipo nyuma yako, huna kasoro