KATIBA

BAKI

Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
30
Reaction score
4
Ni wazo tuu, kwa upande wangu ninafikiri kwa Kodi wananchi wanayolipa, serikali ingegawa copy ya katiba kwa Kila kaya, hi ingesaidia wananchi Kama s wote kujua Haki zao za msingi...nafikiria kwa upande wangu lingekuwa Jambo la msingi,nawasilisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…