Katiba mpya

micksawe

Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
9
Reaction score
0
Katika kataba mpya ya Tanzania, Watanzania tuingize kifuatacho. Mtuanapiga kura endapo amri wa miaka 18 au zaidi. Basi kuwe na umri wa mwisho wa kupiga kura.
Kama ilivyo kuwa mtumishi wa uma anavyo staafu miaka 60
 
ngoja nifikirie nitarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…