micksawe Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9 Reaction score 0 Mar 13, 2012 #1 Katika kataba mpya ya Tanzania, Watanzania tuingize kifuatacho. Mtuanapiga kura endapo amri wa miaka 18 au zaidi. Basi kuwe na umri wa mwisho wa kupiga kura. Kama ilivyo kuwa mtumishi wa uma anavyo staafu miaka 60
Katika kataba mpya ya Tanzania, Watanzania tuingize kifuatacho. Mtuanapiga kura endapo amri wa miaka 18 au zaidi. Basi kuwe na umri wa mwisho wa kupiga kura. Kama ilivyo kuwa mtumishi wa uma anavyo staafu miaka 60
jogi JF-Expert Member Joined Sep 25, 2010 Posts 25,556 Reaction score 25,362 Mar 14, 2012 #2 ngoja nifikirie nitarudi.