Ni ukweli kuwa kama mwanzo ulikuwa na tatu lakini mwishowe ukawa na tano ni dhahiri kuwa kuna nyongeza.
Nikiwa mpenda mabadiliko siridhiki na matokeo haya kwa sababu mbili kubwa,mosi nguvu iliyotumika ikihusisha viongozi wakuu wa CDM hailingani na matokeo haya.
Pili ni idadi ya watu wanaohudhuria mikutano na kuishabikia hailingani pia na matokeo. Ni lazima tutafakari zaidi,there is a problem somewhere that need to be dealt with immediately.