Kasheshe ya kodi ya nyumba Dar

Hewa mkaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
748
Reaction score
386


Kuna msongamano mkubwa kutokana na watu kuitika wito wa property tax. Inaonyesha siku ya leo halitoshi kwa sababu TRA hawakujuandaa na mafuriko. Serikali iongeze siku ili waitikie wito huu kwa ukamilifu
 
serikali isiongeze muda wa ziada labda faini tu.Watu wengine ni wazembe sana.
 
Watu wengine walikuwa wakilipia kupitia manispaa au wilaya zao kwani hawakuunganishwa na mtandao WA TRA na kwa sasa wametakiwa kujisajili upya TRA. Nadhani TRA waweke mawakala wao ofisi za serikali za mitaa ili kurahisiha zoezi hili
 
yani watz wanapenda zimamoto na bado izo week mbili zinaweza zisitoshe
 
Tatizo wengine wamekadiriwa tofauti na gharama walizo jengea kwa hiyo malalamiko yapo mengi
 
Kiwanja hakijapimwa lakn unapewa barua yenye jina kulipia, mhhhh
 
Watanzania tubadilike. Hatuwezi kuendelea kwa staili hii. The world is moving forward
 
Bado watu wengi hawana elimu na hii Kodi maana wengi waliokuwa wanalipa ni viwanja vyenye hati Lakini sasa hata kama huna hati ni lazima ulipe
Mkuu, kwani viwanja visivyo na hati navyo vinalipiwa 2016/2017 GB au ni inayoanza mwaka mpya wa bajeti July?
Naomba kujuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…