Karibuni tuongeze nguvu za kiume!

Wabongo bwana!!! Kila mtu ana akili kumshinda mwingine.
 
Lait tungekuwa tunajua tunazaa wakina bushite tudingekuwa tunaangaika na hizo nguvu
 
Mbegu za kiume za wanaume wa Tanzania zinazaa watoto hovyo na wasio na faida yoyote! Yaani hawagundui chochote! Michezo hawajui ,kujishughulisha hawataki, kazi kupiga stori za dushe, kubeti, na wanawake! Unakuta kidume anamng'ang'ania mwanamke kama kupe akija kupewa mzigo dk mbili kachoka na mbaya zaidi ana kibamia yaani shida mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…