FLORA KIBONA
Member
- Dec 8, 2023
- 10
- 6
kuazisha biashara bila mtaji.Hello wana Jf kwa wafanyabiashara wa biashara ya mchele hasa wale ambao bado mna mitaji midogo haina haja ya kutumia ghalama ya kusafiri mpaka mbeya Karibu uagize mzigo unaohitaji kutoka kwetu nipo mashine za mpunga wilayani Mbarali
Na hata kama unahitaji kuanzisha biashara hii ya mchele kwa mji uliopo Karibu tukuhudumie
kuazisha biashara bila mtaji.
Udalali huu
Ndo kusema Jf umejiunga jana Mkuu? Si utumie akaunti yako ya siku zote ili kujijengea imani zaidi hapa ndani.Hello wana Jf kwa wafanyabiashara wa biashara ya mchele hasa wale ambao bado mna mitaji midogo haina haja ya kutumia gharama ya kusafiri mpaka Mbeya
Karibu uagize mzigo unaohitaji kutoka kwetu nipo mashine za mpunga wilayani Mbarali
Na hata kama unahitaji kuanzisha biashara hii ya mchele kwa mji uliopo Karibu tukuhudumie
Ndo kusema Jf umejiunga jana Mkuu? Si utumie akaunti yako ya siku zote ili kujijengea imani zaidi hapa ndani.
Kwa nini tukuamini ww. Kukutumia pesa zetu ?Sikuwa na account before
Kwa nini tukuamini ww. Kukutumia pesa zetu ?
Mie nahitaji nafaka ila masharti yangu nalipa pexa zako nikishajiridhia mzigo umenifikia. Je upo tayari niagize kwako?Hello wana Jf kwa wafanyabiashara wa biashara ya mchele hasa wale ambao bado mna mitaji midogo haina haja ya kutumia gharama ya kusafiri mpaka Mbeya
Karibu uagize mzigo unaohitaji kutoka kwetu nipo mashine za mpunga wilayani Mbarali
Na hata kama unahitaji kuanzisha biashara hii ya mchele kwa mji uliopo Karibu tukuhudumie
Alipo sema wenye mitaji midogo Haina haja ya kusafiri kwenda mbeya. Alikua anamaanisha nn?. Be smart.Sijaona mahali akisema atumiwe pesa lkn mkuu
Anamaanisha atakutumia au kukuletea ili usiunguze nauliAlipo sema wenye mitaji midogo Haina haja ya kusafiri kwenda mbeya. Alikua anamaanisha nn?. Be smart.
Kwa nini tukuamini ww. Kukutumia pesa zetu ?
Mie nahitaji nafaka ila masharti yangu nalipa pexa zako nikishajiridhia mzigo umenifikia. Je upo tayari niagize kwako?