Toka jana umepata muendelezo wowote wa jamaa anayejisifu kwa uharifu hakuna?kila uzi hapa ni cdm cdm zitto zitto arfi arfi nani akumbuke yule binti anayedai kubakwa?
Toka jana umepata muendelezo wowote wa jamaa anayejisifu kwa uharifu hakuna?kila uzi hapa ni cdm cdm zitto zitto arfi arfi nani akumbuke yule binti anayedai kubakwa?
Kweli nimeamini watanganyika tunaongozwa na matukio, kuanzia hapa jf, blogs nyingine mpaka magazetini upepo umebadilika, sasa ni Rage, Babu Seya na Zitto. Inakuwaje ishu inamalizika kiholela bila kupata suluhu? Ninashawishika kuamini kuwa inawezekana ishu ya Rage imetengenezwa ili kuiondoa hewani hii ya mwana tabora, mwanaccm na mwanasimba mwenzie, Kapuya!
Kaka issue ya Kapuya bado mbichi. Utakumbuka kupitia kwa wakili wake alisema na kuahidi kua atalipeleka Tanzania Daima mahakamani wk hii. The juicier part is yet to come.
Kweli nimeamini watanganyika tunaongozwa na matukio, kuanzia hapa jf, blogs nyingine mpaka magazetini upepo umebadilika, sasa ni Rage, Babu Seya na Zitto. Inakuwaje ishu inamalizika kiholela bila kupata suluhu? Ninashawishika kuamini kuwa inawezekana ishu ya Rage imetengenezwa ili kuiondoa hewani hii ya mwana tabora, mwanaccm na mwanasimba mwenzie, Kapuya!
Tetetete! anaomba hilo tifu la Zito na Rage yasiishe mapemaYaani mzee wa watu atakvyokuwa ameshukuru kutokana na kuibuka kwa sakata la akina Zitto, nadhani anaweza hata akawatafuta awape zawadi kama shukrani namna ambavyo wamemwokoa, yaani alikuwa hapumui. Halafu sasa mzee mwenyewe alivyo na nyota na media, yaani akisikika kwenye media moja tu, media zote zinamwandama nadhani hata za nchi jirani huwa zinamwandika. Bora naye apumue mzee wa watu