Kuna tetesi kuwa beki kiraka wa simba shomari Kapombe ataanza mchezo wa leo dhidi ya yanga
Japo mwanzo ilionekana atakosa mechi zote zilizosalia msimu huu
Kwenye mazoezi ya jana kocha aliwatenga wachezaji watano akiwemo Deo na kichuya akawataka wafanye mazoezi na kocha wa viungo akachukia akaenda kukaa kwenye gari