Kanuni za ndoa za kisasa.

kinyangesi

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2012
Posts
247
Reaction score
86
Anaandika mkuu wa kaya! Kinyangesi.
_______________________
Kanuni ya ndoa za sasa:
Mwaka wa kwanza: mume anaongea mke anasikiliza,

Mwaka wa pili: mke anaongea mume anasikiliza,

Mwaka wa tatu: mume anaongea na mke anaongea majirani wanasikiliza,

Mwaka wa nne: mume anaongea, mke anaongea, majirani wanaongea, mahakama inasikiliza.
.!
 
Kama ile ya dada yako? Wewe unaongea bado zamu ya mahakama na sherehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…