Issa kijoti na mzee kipara wanampokea kanumba kwa shangwe na kumuuliza BIG DADDY mbona umekuja mapema huku? Au FAMILY TEARS imekuchosha,ama umeikimbia MAGIC HOUSE?,lakini ukumbuke UNCLE JJ wabongo wanakukubali,kanumba anajibu YOUNG BILLIONEA huenda sehemu yoyote anayoitaka,ila sometime dunia inaboa coz mademu wengi wana FAKE SMILE hivyo nimeona nisepe kuepuka DANGEROUS DESIRE kabla ya NDOA YANGU...........R.I.P
Ha ha ha!, R.I.P Kaka Kanumba, The Great!
R.I.P Issa Kijoti and R.I.P Mzee Kipara
R.I.P Issa Kijoti and R.I.P Mzee Kipara
Jaman acha niulizie hapahapa,,,hivi CHEIN wa kaole yuko wapi????alijiita dr cheni
Pita pita mitaa ya Buguruni Malapa au Ilala Bungoni utampata tu, ndo maskani yake tangu enzi zile anapiga mzigo kwenye daladala.
Issa kijoti na mzee kipara wanampokea kanumba kwa shangwe na kumuuliza BIG DADDY mbona umekuja mapema huku? Au FAMILY TEARS imekuchosha,ama umeikimbia MAGIC HOUSE?,lakini ukumbuke UNCLE JJ wabongo wanakukubali,kanumba anajibu YOUNG BILLIONEA huenda sehemu yoyote anayoitaka,ila sometime dunia inaboa coz mademu wengi wana FAKE SMILE hivyo nimeona nisepe kuepuka DANGEROUS DESIRE kabla ya NDOA YANGU...........R.I.P
Mbona sasa hakutuaga kama enzi zile anatoka DAR TO LAGOS! Dah Ametuachia MORE THAN PAIN