joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,400
- 41,522
Jibu simple la hilo ulilolitoa kwenye line ya kwanza,kuwapa vimada life la gharama huwezi fananisha na gharama za talaka. Ndio maana hawana mpango wa kuoa japo hawatosema mbele ya umma,ndio maana wapo tayari kutoka na vimada na kuspend na ila si kuoa.Ushaona hao vimada wao wanavyoishi high life.
Tuachane na maamuzi ya hela za wanaume wengine. Pambana usiwapangie watu furaha zao na maamuzi yao.
Yawe maamuzi mazuri au mabaya hata wao wana case studies kabla ya kuamua wengi wanajua consequences zao.
Unajuwa baba yake Kobe Bryant ni maskini leo pamoja na utajiri wote alioacha. Sasa sio bahati mbaya Kobe mwenyewe hakutaka apate kitu. Na alichaguq mke dhidi yake.
Kila mtu na maamuzi yake kwenye hii dunia ndugu, mradi hela kaitafuta yeye.
Aisee bora huyo kichaaa kuliko eti nina hela alafu nioe mwanamke alishazalisha au kuwa dvorced🤣🤣 no ways. Nitafanya hivyo kama sina ndalama lakini ngolo kante ana ndalama za kumwaga he has options that sie wakuna pumbu hatunaThey have no problem kawaida tu. Sie waislam ukimstir mtu hvyo unapata neema kwa mwenyez kuliko angekua chapa ilale. Foster father na mtt mmoja nimezaa na wife wala hakuna shida na mambo yanaenda vzuri.... Unaweza pata mtu normal na kichaa vile vile
Hakuna cha uchawi hapo mkuu, ni upuuzi tu wa mtu (Ng'olokante) na pia huyo dada ana nyota kama ya Grecy mashel.Uchawi wa kizungu upo nimeamini kwa kweli
Sheria za talaka za bongo na za imani yenu tofauti na ulaya, ulaya kuna 50/50 kwenye mgawanyo wa mali ,kuna Allomony unampa mtalaka wako,mpaka siku atakayo ondoka duniani na kuna Child Support.They have no problem kawaida tu. Sie waislam ukimstir mtu hvyo unapata neema kwa mwenyez kuliko angekua chapa ilale. Foster father na mtt mmoja nimezaa na wife wala hakuna shida na mambo yanaenda vzuri.... Unaweza pata mtu normal na kichaa vile vile
Nikiwaga na vibunda, chakula tu huwa nachagua sembuse mwanamke?Aisee bora huyo kichaaa kuliko eti nina hela alafu nioe mwanamke alishazalisha au kuwa dvorced🤣🤣 no ways. Nitafanya hivyo kama sina ndalama lakini ngolo kante ana ndalama za kumwaga he has options that sie wakuna pumbu hatuna
Mwanetu ujuaji mwingi uwanjani kumbe kwenye mahusiano kilaza tu. 🙆
Hahaha ngolo ana kibamia🤣🤣🤣🤣Nikiwaga na vibunda, chakula tu huwa nachagua sembuse mwanamke?
Kwanza kazeeka, pili ana mabegi matatu na bado namzidi kipato, kwamba hivyo vitoto chuchu karanga sivioni ama?
Au mchizi (Ng'olo) anakibamia ameamua kumtafuta bibi kizee ili amfungie siri?
Maana ndani ya ndoa hizi kuna siri nyingi jamani.
Wanafanya hvyo kupunguza watt wa mitaani ushawah kuona marekani kuna watt wa mitaani?Sheria za talaka za bongo na za imani yenu tofauti na ulaya, ulaya kuna 50/50 kwenye mgawanyo wa mali ,kuna Allomony unampa mtalaka wako,mpaka siku atakayo ondoka duniani na kuna Child Support.
Ndio maana hao matajiri wakubwa baada ya kuachana na wake zao,sasa hivi wanakula life na vimada tofauti tofauti, ila hawa plan za kuoa. US na Ulaya talaka inaweza kukufilisi kama uchumi wako wa kuungaunga na mifumo ya kule haina huruma kwa mwanaume hasa kwenye maswala ya talaka.
Nyie kwenye imani yenu, unaweza ukaacha asubuhi na ukao jioni na mke haondoki hata na kijiko. Ulaya mnaacha leo,kesho asubuhi kwa Pilato kugawana kile ulicho kitafuta ww.
Ndugu sababu za maamuzi ya watu ni nyingi.Jibu simple la hilo ulilolitoa kwenye line ya kwanza,kuwapa vimada life la gharama huwezi fananisha na gharama za talaka. Ndio maana hawana mpango wa kuoa japo hawatosema mbele ya umma,ndio maana wapo tayari kutoka na vimada na kuspend na ila si kuoa.
Simpangii mtu life dunia ni yake na hela ni zake, ila haimzuii mtu kuongea kila kinacho onekana. Mabilionea wengi na watu wenye hela,wengi wao baada ya kuachana na wanawake zao za ndoa,hawana mpango tena wa kuingia kwenye ndoa.Life yao kwa sasa ni kuspend na vimada,sababu hela ya kula bata ni kama pocket money kwao huwezi linganisha na mgawanyo atakao utoa kwenye talaka.
Assign naye prenuptial agreement tu hakuna namna maana hapo kafuata pesa pekeeView attachment 3089817
KANTE AMTAFUTE HAKIMI. EMMANUEL EBOUE AWE CASE STUDY.
Ngolo Kante, nyota wa zamani wa Chelsea na mshindi wa kombe la dunia akiwa na timu ya taifa ya Ufaransa amemuoa mwana mama raia wa Uingereza anayeitwa Jude Littler (pichani). Jude ni mfabiashara na mtangazaji wa television ya ITV Wales and S4C.
Jude Littler alikuwa ni mke wa zamani wa Djibrin Cisse, mchezaji wa zamani wa Liverpool na timu ya taifa ya Ufaransa. Cisse na Littler alioana mwaka 2005, ilipofika mwaka 2012; Cisse na Littler walitalakiana na Littler alichukua sehemu kubwa ya utajiri wake.
Miaka miwili baadae 2014, Ngolo Kante alikutana na Jude Littler kwenye klabu ya usiku na walioana miezi michache baadae. Jude Littler ana umri wa miaka 48 huku Ngolo Kante akiwa na umri wa miaka 33, Jude anamzidi umri kwa miaka 15.
Cha kufurahisha zaidi ni kwamba wakati Kante anamuoa Jude alimkuta na watoto 3 kwa mumewe wa zamani Djibrin Cisse ambaye Ngolo Kante sasa anawalea kama watoto wake. Kante na mke wake Jude hawana mtoto wa kumzaa.
*****
Huu ni mtego wa kiungo wa boli, Ngolo Kante. Huu mtego aliusanukia Hakimi ila ulimnasa Emmanuel Eboue na akaachwa bila kitu. Mwamba anakaba sana uwanjani ila huku amekabwa aiseee! 😂
Source @mdemupolycarp X
Sawa wewe unaweza kufanya hivyo 50/50,Allomony plus child support? Tuongee ukweli wewe moyo huo unao? Au unazani wanaume wa US wanapenda, ujue kuna jimbo US washabadili sheria za talaka,mfano jimbo la Miami wanaangalia umeishi kwenye ndoa kwa mda gani then wanakukadilia kiasi utakachopata na Allomony itakuwa kwa kipindi fulani na wakiona hustahili hupati kitu.Wanafanya hvyo kupunguza watt wa mitaani ushawah kuona marekani kuna watt wa mitaani?
Ukwapi....😋Kwani tuna shida gani wanawake wenye watoto watatu jamani…! Kuna watu wana watoto watatu ila ni wamenyooka vibaya
Itakuwa mwanawane sio bureUlaya hivi na wao wanaroga.. kama tunavyorogwa sisi hukunkwenye uchumi wa ccm?
Naelewa hilo may be muachane in peace.Sawa wewe unaweza kufanya hivyo 50/50,Allomony plus child support? Tuongee ukweli wewe moyo huo unao? Au unazani wanaume wa US wanapenda, ujue kuna jimbo US washabadili sheria za talaka,mfano jimbo la Miami wanaangalia umeishi kwenye ndoa kwa mda gani then wanakukadilia kiasi utakachopata na Allomony itakuwa kwa kipindi fulani na wakiona hustahili hupati kitu.
Kumbuka kule ni ulaya tofauti na bongo. Halafu kule kitendo cha kuoa tuu, demu anaingia rasmi kwenye mgawanyo wa mali na Allomony, haijalishi kama kazaa au hajazaa
Soma history ya huyo mmama alishawahi nusu ya kumfilisi mwanamme wake wa mwanzo mchezaji wa zamani wa ufaransa cisse ambae ndio wamezaa nae watoto hao watatu.. ambao kante now ndio anawaleaKwani tuna shida gani wanawake wenye watoto watatu jamani…! Kuna watu wana watoto watatu ila ni wamenyooka vibaya
Sio nusu ya mali, alichukua zaidi ya nusu ya mali kwa mtaliki wake hadi msela akachizika na soka likamtemaSoma history ya huyo mmama alishawahi nusu ya kumfilisi mwanamme wake wa mwanzo mchezaji wa zamani wa ufaransa cisse ambae ndio wamezaa nae watoto hao watatu.. ambao kante now ndio anawalea