Kama ingekuwa kila mnalokomalia linazaa matunda ingeleta maana. Hiki kizazi kimekuwa cha ovyo, umbea, upashkuna ndo imekuwa kazi.Jana imeonekana barua ya KKKT kila MTU kahamishia akili zake zote hapo hapo?,na bado mnalalamika maendeleo hayaji. Hakuna watu wanafiki duniani Kama asilimia fulani ya watanzania ninaowaona humu.Wanashinda wanatafuta tweet za watu, nukuu za Sitta za enzi zile wazilete humu, hivi kwa style hii tutaweza kutengeneza toothpick?.. Ndo maana huwa naombea JPM aendelee kukaza mpaka watu akili ziwarudie, zisipowarudia waendelee kulalama mpaka kiama na vizazi vyao vya ulalamishi mitandaoni.