NAENDELEA.. ni mtihan kwangu kwa sababu nipo chuon sina hata muda wa kufanya kazi nitapata wapi hela ya matumiz madogomadogo ya chuo kama sabuni n.k, najua kuna watu humu wanaojua matatizo ni nini maana wameyapitia, nakuomba kama ndugu yangu,rafiki yangu na Mtanzania mwenzangu unikumbuke hata Tsh.5,000 hata Tsh.2,000 unisaidie mdogo au mtoto au ndugu yako, mchango wako ni muhm sana kwangu kwasasa,. chuo ninachosoma kinaitwa ST.BAKHITA TRAINING INSTITUTE kipo RUKWA wilaya ya NKASI kt mji wa NAMANYERE. namba yangu ni 0763223724. Na kwa wale wenye matatizo kama yangu endeleen kumwomba Mungu kwa pamoja atusaidie. AHSANTEN SANA