Bc tuseme mganga wa utumishi hajaniona ๐Aah wapi wenye broken kibao tu wamepita wewe holaa๐
Utamaliza makanisa mchawi ni we mwenyewe๐คฃBc tuseme mganga wa utumishi hajaniona ๐
Me mefanyaje sasa jamani ๐ญUtamaliza makanisa mchawi ni we mwenyewe๐คฃ
Walie target tuMe mefanyaje sasa jamani ๐ญ
Ipo siku yao tuu hawa, wana bahati ajira zangu n za taasisi moja tuu kudadekiWalie target tu
Komaa na private co. Sio mwisho wa maishaIpo siku yao tuu hawa, wana bahati ajira zangu n za taasisi moja tuu kudadeki
Private jau sana kudadeki ๐ญKomaa na private co. Sio mwisho wa maisha
Zipo zinazojali utu na kikomaa unazipata vzr tuPrivate jau sana kudadeki ๐ญ
Ngoja niendelee kupambana, kuna moja hiyo niliipata wako vzr ila tulishindwana kwenye majukumu, wananipa majukumu ambayo hatujakubaliana nao afu wanasema hawaoni maendeleo yangu, ikabidi nikimbie nirudi kwenye kibarua cha mwanzo kabla hakijaota vumbi.Zipo zinazojali utu na kikomaa unazipata vzr tu
Kheee๐คฃ๐คฃ๐คฃNgoja niendelee kupambana, kuna moja hiyo niliipata wako vzr ila tulishindwana kwenye majukumu, wananipa majukumu ambayo hatujakubaliana nao afu wanasema hawaoni maendeleo yangu, ikabidi nikimbie nirudi kwenye kibarua cha mwanzo kabla hakijaota vumbi.
Dah ntalia sana ๐ญKheee๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Harakati za mtu mweusi! Sema ukizeeka uko palepale usishangae sana.. inatokea tu๐
Jikaze, haijaisha mpaka iishe!Dah ntalia sana ๐ญ
Anyway, ungekuta sasa hv niko private yenye kujitambua, ila ndo hvy watu na roho zao mbaya, wakanichoma ๐ญ
Imeisha ๐คJikaze, haijaisha mpaka iishe!