The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 9,170
- 20,202
=Nchi.Fanya kazi utumwani we myebusi, ushakimbia tuachie inji yetu..... Kazi na Bata.
Uwe mpole,kilakitu kinaendaMzuqa
Kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu uliyetukuka, Bernard mwana wa Membe, huko wapi watu tuna kufa kwa njaa.???
Unavyozidi kuwa kimya wengi wanapoteza maisha kwa njaa. Baba yetu Kamilius tusaidie aisee. Wee tamka tu.
Ukitaamka tu nataka kuwa Rais yani kutamka tu shilingi itapanda thamani. Bei ya vitu itashuka watumishi watafurahi watanzania watapata nafuu.
Kamilius baba jitokeze maamae tunakufa na njaa baba. Kamilius tusaidie. Kamilius napaza sauti yangu yote tusaidie tunakufa na njaa.
Membeeeeee Mwanadiplomasia wa aina yake!
Meeembeee Kachero mbobezi tusaidie baba tunakufa na njaaa.
Kamiliuuuuuuusssssss!
Nini wewee mgerasi Tulia wewee acha porojoFanya kazi utumwani we myebusi, ushakimbia tuachie inji yetu..... Kazi na Bata.
Nadhani ukijifunza kuandika kwa ufasaha anaweza kuelewa ulichoandika. ''huko wapi....?''. Are you kidding?Mzuqa
Kachero mbobezi na mwanadiplomasia mzoefu uliyetukuka, Bernard mwana wa Membe, huko wapi watu tuna kufa kwa njaa.???
Unavyozidi kuwa kimya wengi wanapoteza maisha kwa njaa. Baba yetu Kamilius tusaidie aisee. Wee tamka tu.
Ukitaamka tu nataka kuwa Rais yani kutamka tu shilingi itapanda thamani. Bei ya vitu itashuka watumishi watafurahi watanzania watapata nafuu.
Kamilius baba jitokeze maamae tunakufa na njaa baba. Kamilius tusaidie. Kamilius napaza sauti yangu yote tusaidie tunakufa na njaa.
Membeeeeee Mwanadiplomasia wa aina yake!
Meeembeee Kachero mbobezi tusaidie baba tunakufa na njaaa.
Kamiliuuuuuuusssssss!