NapangishaUnauza au unapangisha?
Picha sitaweza kutuma sins SIMU ya whatsapp ila karibu ukitaka kuangalia bure
Mkuu nimekutumia PM naomba majibu ya harakaNashukuru wengi mmeonyesha interest nimewatumia namba inbox atakayependa kuja kuangalia in free kuangalia na kwa kuongezea vyumba vyote in full tiles na nyumba bado mpya. Karibuni.
Nimeshakujibu mkuuMkuu nimekutumia PM naomba majibu ya haraka
Mi sio Dalali mkuu hii nyumba napangisha in ya ndugu yangu tukibamba au mbezi mwisho nyumba yenye mabanda ya kuku ikiwa inajitegemea ....
ya nguruwe hutaki?kibamba au mbezi mwisho nyumba yenye mabanda ya kuku ikiwa inajitegemea ....
Anataka kuku fasta mwezi mmoja tu anauza.ya nguruwe hutaki?
Je upatikanaji wa maji ukoje?Vyumba bado vipo wakuu kimechukuliwa kimoja bado kimoja. Karibuni
Nahitaji hiyo nyumba seriously. Nitafikaje hapo leo?Nashukuru wengi mmeonyesha interest nimewatumia namba inbox atakayependa kuja kuangalia in free kuangalia na kwa kuongezea vyumba vyote in full tiles na nyumba bado mpya. Karibuni.