ikizu JF-Expert Member Oct 26, 2011 431 56 Jan 19, 2015 #2 hii kali ya mwaka ila wiki moja iliyopita alikuw bariadi akawambia wapiga kura wake kuwa hela bado anazo wasubiri mda ukifika atawagawia na wote wataionja escrow
hii kali ya mwaka ila wiki moja iliyopita alikuw bariadi akawambia wapiga kura wake kuwa hela bado anazo wasubiri mda ukifika atawagawia na wote wataionja escrow
kashesho JF-Expert Member Oct 19, 2012 4,976 2,465 Jan 19, 2015 #3 mmh hata sibishi ila ukionyesha tu sura unakula shaba
Gwangambo JF-Expert Member Jun 30, 2012 3,638 1,207 Jan 19, 2015 #4 Na nyuma ya nyumba ya Prof. Tezi Dume ni hivii....
M mangatara JF-Expert Member Jul 6, 2012 14,517 14,135 Jan 19, 2015 #6 Nawaombeni tu jamani, nisemeeni kwa mzee Chenge. Nipige nazo picha tu baasi. Kwani ukinusa harufu ya nyama choma ndo umekula ndafu!!!
Nawaombeni tu jamani, nisemeeni kwa mzee Chenge. Nipige nazo picha tu baasi. Kwani ukinusa harufu ya nyama choma ndo umekula ndafu!!!