Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Ulipokuwa sekondary akaja mtu wa chuo akamchukua mpenzi wako, ukaenda chuo akaja mtu anayefanya kazi akamchukua mpenzi wako, ukapata kazi akaja mwenye gari lake akamchukua mpenz wako, ukanunua gari akaja mtu aliyeoa akamchukua mpenzi wako, ukaamua uoe kinakuja kiben10 cha chuo kinamchukua mke wako
 
Umeanza mambo yako
 
Achana nao!!!
______________

Nilimtembelea rafiki yangu Mlengule nyumbani kwake, mke wake akatutengea wali kwenye sahani zilizojaa minyama kibao..!!!
Ajabu ni kwamba sahani za watoto wake zilikuwa zimejaa wali na kachumbari Tu.
Baada ya kula nikamuliza Mlengule,
"Kulikoni watoto wale wali na kachumbari wakati sisi tumekula minyama kibao?!"
Akajibu kwa kujiamini kabisa..
"Achana nao hao wapumbavu wanajifanya hawali mbwa
"
 
We mtu unakipaji sana sema sijui ka unajua ilo
 
Hakuna (***) yenye ukubwa zaidi au sawa na kichwa cha mtoto. Kwa hiyo acheni kutupigia kelele kama vile mnanyongwa wakati wa kufanya mapenzi
SAMAHANI LAKINI
 
Mume anagombana na mkewe:
mke: we mwanaume ni mpumbavu!
mume: (kimya)
mke: mwanaume surual!i
mume: (kimya)
mke: mwanaume dakika moja tu chali!
mume: we ongea yote hakuna litakaloniumiza..
mke: una akili za kikondoo
mume: (kimya)
Mke akafikiria akakumbuka mumewe ni shabiki wa man u, akaanza tena;
mke: we lukaku...
mume: we pumbavu sasa naona unavuka mipaka. Ukirudia tena kuniita hivyo ukusanye na nguo zako kabisaa uondoke!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…