Head current JF-Expert Member Joined Jan 17, 2013 Posts 479 Reaction score 128 Jul 11, 2015 #1 kwema wakuu? km una dish na dercoder ya zamani ya zuku kwa maana zile dercoder kubwa na nyuma ina sehemu ya usb basi huna haja ya kuiweka kapuni, kuna mbinu zaidi ya kukufanya uifurahie, kwa imfo zaidi just pm! karibuni!
kwema wakuu? km una dish na dercoder ya zamani ya zuku kwa maana zile dercoder kubwa na nyuma ina sehemu ya usb basi huna haja ya kuiweka kapuni, kuna mbinu zaidi ya kukufanya uifurahie, kwa imfo zaidi just pm! karibuni!
twatwatwa JF-Expert Member Joined Sep 19, 2011 Posts 2,066 Reaction score 421 Jul 11, 2015 #2 mimi ninayo mkuu
NileSat JF-Expert Member Joined Mar 31, 2015 Posts 340 Reaction score 182 Jul 12, 2015 #3 Nackia harufu apa......
nachid JF-Expert Member Joined Apr 14, 2011 Posts 942 Reaction score 209 Jul 12, 2015 #4 we toa maujuzi hapa haina jana ya pm
Head current JF-Expert Member Joined Jan 17, 2013 Posts 479 Reaction score 128 Jul 12, 2015 Thread starter #5 kiufupi unaweza tumia dish la zuku na hiyo dercoder, kupata local chanel zote na baadhi za nnje, bila malipo ya mwezi!
kiufupi unaweza tumia dish la zuku na hiyo dercoder, kupata local chanel zote na baadhi za nnje, bila malipo ya mwezi!
Head current JF-Expert Member Joined Jan 17, 2013 Posts 479 Reaction score 128 Jul 12, 2015 Thread starter #6 Electrical Technian; unaskia harufu ya nini? umiza kichwa ujue mengi, kalagabao!
T taishingoni Member Joined Aug 6, 2014 Posts 84 Reaction score 58 Jun 23, 2017 #8 Lete maujanja hayo Mimi ninalo