McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Wakuu,
Yaani katika wabunge wenye sifa huyu nae ni namba moja.
Mbunge wa Jimbo la Geita vijijini, anayemaliza muda wake, Joseph Kasheku (Msukuma) ameahidi kuwa atawachangia gharama za fomu wapinzani wake watakaopungukiwa pesa za kuchukua fomu ya ubunge wa jimbo hilo.
Msukuma amesema hayo mbele ya waandishi wa habari mjini Geita mara baada ya kurejesha fomu ya kutia nia kugombe ubunge jimbo la Geita vijiji kupitia Chama Cha Mpainduzi (CCM).
Amesema uzoefu wake wa kisiasa unamfanya ajiamini na asiwe na hofu juu ya mtia nia ama mpinzani yeyote ambaye atajitokeza kuchukua fomu kwa kuwa ni haki ya kikatiba kila mmoja kugombea.
"Nimetangazia watu wote wanaotia nia jimboni kwangu, ukipungukiwa hela ya kuchukulia fomu njoo, ukiwa huna hela nia yako inakutuma kwenda kugombea ubunge njoo, mimi natoa.
Yaani katika wabunge wenye sifa huyu nae ni namba moja.
Mbunge wa Jimbo la Geita vijijini, anayemaliza muda wake, Joseph Kasheku (Msukuma) ameahidi kuwa atawachangia gharama za fomu wapinzani wake watakaopungukiwa pesa za kuchukua fomu ya ubunge wa jimbo hilo.
Msukuma amesema hayo mbele ya waandishi wa habari mjini Geita mara baada ya kurejesha fomu ya kutia nia kugombe ubunge jimbo la Geita vijiji kupitia Chama Cha Mpainduzi (CCM).
Amesema uzoefu wake wa kisiasa unamfanya ajiamini na asiwe na hofu juu ya mtia nia ama mpinzani yeyote ambaye atajitokeza kuchukua fomu kwa kuwa ni haki ya kikatiba kila mmoja kugombea.
"Nimetangazia watu wote wanaotia nia jimboni kwangu, ukipungukiwa hela ya kuchukulia fomu njoo, ukiwa huna hela nia yako inakutuma kwenda kugombea ubunge njoo, mimi natoa.