Kama makanisa yataendekeza kwaya kuimba style za Mayele kanisani mimi nitaacha kusali

Kanisani huwa hakuna ibada Bali shughuli/event...ibada gani kula humohumo,kuomba na kucheza,Nina uzoefu na Roma,nimeingia Sana ibadani
 
Ibada ya Roma ukiacha kula mikate ni theater na mhadhiri
 
Waoneshe pia style ya kushangilia ya yule striker wa Mbeya City
 
Asee kweli mkuu.
Leo wanakwaya wamebadili na wamekuja na staili ya Tariq seif kiakala asee kabisa zima tumefurahi sana😄😄😄
 
Ikiwa ni kweli hili ulisemalo, basi huko kanisani kuna vituko.
Kwahiyo hapo ndio munaabudu, sio?
 
Tumemshauri atumie style ya Tariq seff wa mbeya city Ili huko kanisani wasiteteme
 
Hakika
Duuuuuuu!!¡! Dini ya kikristu bwana inashangaza sana,akija mchezaji mwingne na style nyingne wataimba kwa style hiyo.Ndugu yangu zinduka hiyo sio dini ,hicho ni kikundi cha wauuni wanakutana na kuwashawishi watu wapeleke sadaka ili wakazipige.
 
Mpaka style za Pepe Kale zipo, utafurahi. Wanafanya mazoezi kwani huko Mbinguni ni kuimba tu na kucheza.
 
🤪🤪🤪nimecheka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…