inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 18,125
- 18,468
Kanisani huwa hakuna ibada Bali shughuli/event...ibada gani kula humohumo,kuomba na kucheza,Nina uzoefu na Roma,nimeingia Sana ibadaniMimi huwa nakereka sana katikati ya ibada inasimama kwaya kuimba mwishoni wanaanza kucheza style ya Mayele kwa kupiga mikono na kutetema, hicho kitendo ni cha kipuuzi sana!
Kwanza mnajua huwa anamaanisha nini? Au kila mtu aje na style ya mchezaji anayempenda tucheze kanisani?
Tuheshimu ibada, mwambieni Mayele awakataze mashabiki zake kabla hakijamkuta cha kumkuta!
Ibada ya Roma ukiacha kula mikate ni theater na mhadhiriSimple: ukiona kanisa la aina hiyo basi hao ni wajasiriamali na siyo kanisa. Siku hizi inabidi kuwa makini ili uweze kutofautisha kati ya kanisa na utapeli. Kwa taarifa yako matapeli wengi wamehamia nyumba za ibada kwani wanajua huko ndiko rahisi kutapeli.
Hawa ni bora kabisa kwani huwezi kuona ujinga unaoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya kilokole.Ibada ya Roma ukiacha kula mikate ni theater na mhadhiri
Walokole mungu wao kiziwi,ndiyo maana ibada zao ni kelele na vuruguHawa ni bora kabisa kwani huwezi kuona ujinga unaoendelea kwenye baadhi ya makanisa ya kilokole.
Duuuuuuu!!¡! Dini ya kikristu bwana inashangaza sana,akija mchezaji mwingne na style nyingne wataimba kwa style hiyo.Ndugu yangu zinduka hiyo sio dini ,hicho ni kikundi cha wauuni wanakutana na kuwashawishi watu wapeleke sadaka ili wakazipige.
Dada unacheka wakati wenzio wanazungumzia suala la kuabudu!🤣🤣🤣🤣🤣
RabishwiIbada fanya nyumbani kwako, kanisani wewe ni fursa kwa wajanja.
Hakuna huo ujinga utaukuta Catholic kamwe.Kutetema pia ni ibada tunaomba makanisa yote yaanze hii ibada haraka
🤪🤪🤪nimechekaMimi huwa nakereka sana katikati ya ibada inasimama kwaya kuimba mwishoni wanaanza kucheza style ya Mayele kwa kupiga mikono na kutetema, hicho kitendo ni cha kipuuzi sana!
Kwanza mnajua huwa anamaanisha nini? Au kila mtu aje na style ya mchezaji anayempenda tucheze kanisani?
Tuheshimu ibada, mwambieni Mayele awakataze mashabiki zake kabla hakijamkuta cha kumkuta!