..Gazeti la Mwananchi limemnukuu JPM akisema hivi baada ya kushauriwa na Askofu Kakobe akutane na wapinzani.
" Huwezi kukutana na mtu anayekwambia akikushika atakukata halafu ukutane naye kumbe ndiyo siku yako ya kuchinjwa hivyo ni bora umeache akae mwenye huko "
sourhttp://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Ndege-za-Rais-Tanzania-kuanza-kubeba-abiria/1597296-4931274-10vetac/index.htmlce:
cc Mzee Mwanakijiji, Nyani Ngabu, Nguruvi3, MTAZAMO, Mag3, Kiranga, BAK, MISULI
Nahisi ni siasa zetu au zile message tunazotumiana bila kujua boss anaziona. Anachukuliaje ni personal issue...Je, ni kweli wapinzani wametishia KUMKATAKATA?
..kama ni kweli wamechukuliwa hatua gani, au kwanini hawajachukuliwa hatua?
..kama siyo kweli, kwanini Raisi amesema hivyo? kwa manufaa gani?
Bila polisi jiwebni muoga sana !..Je, ni kweli wapinzani wametishia KUMKATAKATA?
..kama ni kweli wamechukuliwa hatua gani, au kwanini hawajachukuliwa hatua?
..kama siyo kweli, kwanini Raisi amesema hivyo? kwa manufaa gani?
Magufuli amekuwa muongo muongo sana siku hizi sijui nini tatizo!..Je, ni kweli wapinzani wametishia KUMKATAKATA?
..kama ni kweli wamechukuliwa hatua gani, au kwanini hawajachukuliwa hatua?
..kama siyo kweli, kwanini Raisi amesema hivyo? kwa manufaa gani?
Jina lako tu linatoa uhalisia wako ww ni mtu wa namna gani nyambaffffff kwelMagufuli achanana wapinzani Hawa wanauana mpaka wenyewe kwa wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
sometime jamaa anajibu kiutani.kumuelewa ni kazi.kama alivyosema alitamani kumbambia mke wa waziri mkuu.akaogopa maana majaliwa ana wivu mno hahaha
Yule hajui hata utani kile anachokisema ndicho humaanisha, ila ninyi wasifiaji wake mmekuwa vipofu mno kwake kila akivurunda mnakuja kumlisha maneno ya kusahihisha kauli zakesometime jamaa anajibu kiutani.kumuelewa ni kazi.kama alivyosema alitamani kumbambia mke wa waziri mkuu.akaogopa maana majaliwa ana wivu mno hahaha