..Gazeti la Mwananchi limemnukuu JPM akisema hivi baada ya kushauriwa na Askofu Kakobe akutane na wapinzani.
" Huwezi kukutana na mtu anayekwambia akikushika atakukata halafu ukutane naye kumbe ndiyo siku yako ya kuchinjwa hivyo ni bora umeache akae mwenyewe huko "
cc Mzee Mwanakijiji, Nyani Ngabu, Nguruvi3, MTAZAMO, Mag3, Kiranga, BAK, MISULI, Zitto
" Huwezi kukutana na mtu anayekwambia akikushika atakukata halafu ukutane naye kumbe ndiyo siku yako ya kuchinjwa hivyo ni bora umeache akae mwenyewe huko "
cc Mzee Mwanakijiji, Nyani Ngabu, Nguruvi3, MTAZAMO, Mag3, Kiranga, BAK, MISULI, Zitto