Tena vyama vyote vilikuwa vinafadhiliwa na mabutu. Iseje kuwa wanasiasa wanaotaka kuanzisha vyama, vyote vikawa vinafadhiliwa na ccm, kama vilivyo cuf, nccr-mageuzi, tlp.
alikuwa anamlilia james Mbatia kwa lipi kama anataka kweli kuanzisha chama kipya? au anapima upepo? kumlilia mbatia ni lazima uwe na roho ya kijasiri vijana wa mtaani wanaweza kukuelewa vibaya.